Johari: Nilifanya mazoezi miaka mitatu bila kuonekana kwa TV
Dar es Salaam. Msanii wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu Johari, amesema wasanii wengi siku hizi hawana uvumilivu katika kufikia ndoto zao za kuwa wasanii wakubwa.
Johari ameyasema hayo...